Travis Scott Alivyopagawa Na Ngoma Ya Diamond “Komasava”.

Rapa Kutokea Marekani @travisscott 🇺🇸, ameonekana aki-hype wimbo wa Simba 🦁 @diamondplatnumz “Komasava” Club Usiku Wa Kuamkia Leo Huko Paris, Nchini Ufaransa.

Diamond Ame-Share Video Hii Katika Ukurasa Wake Wa Instagram, Huku Mashabiki Wakidai Kuwa kitendo cha Travis Kuucheza wimbo wake ni uthibitisho wa ubora na ushawishi wa Diamond katika muziki wa Afrika na duniani kwa ujumla.

Travis Scott Alivyokuwa Aki-Hype Ngoma Ya Diamond Ndani Ya Club Ya Fresh Touch Huko Paris

“They are not ready for What Coming 2025 Gang!! @travisscott 💣🔥” – Diamond Platnumz

Huu ni muendelezo Wa Diamond Kuonesha heshima kwa muziki wa Afrika, na tukio hili linazidi Kuthibitisha Kuwa Diamond Ni mmoja wa wasanii wenye mafanikio makubwa kutoka Afrika. Hivyo Mashabiki wanasubiri kwa hamu kuona Kolabo kati ya Diamond na Travis Scott.