Baadhi ya waigizaji wakubwa Ambao wameripotiwa Kuingiza Mapato Makubwa Zaidi Ya Kiasi Cha $100m (Tsh Bil 252/=) Kwa Filamu Moja Tu Ambazo Wameigiza.
Will Smith – Men In Black 3
Tom Cruise – Top Gun: Maverick
Sam Worthington – Avatar: The Way Of Water
Tom Cruise – War Of The Worlds
Keanu Reeves – The Matrix Revolutions
Bruce Willis – The Sixth Sense
Tom Cruise – Mission Impossible 2
Kiwango hiki cha malipo kinaonyesha uwezo wa waigizaji hao kuvutia mapato makubwa kupitia Filamu, jambo ambalo mara nyingi ni muhimu kwa mafanikio ya kibiashara ya filamu.
Taja Muigizaji Mwingine Hapa Chini Unayemfahamu!!.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.