Mwaka 1995, Tupac akiwa jela alimuandikia barua Madonna kwa lengo la kumuacha rasmi na kuvunja uhusiano wao wa kimapenzi.

Tupac aliandika barua hiyo January 15, 1995 saa 3:30 asubuhi na alieleza sababu ya kumuacha Madonna ni kwa sababu ni “Mweupe” hivyo angeharibu maisha yake ya muziki.


Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.