Chama cha ACT Wazalendo kimepinga uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kumzuia mgombea wao wa ...
Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza kuwa liko tayari kikamilifu kuhakikisha usalama unadumishwa wakati wa kipindi cha kampeni za ...
Ahadi ya Serikali ya kufikisha umeme wa gridi ya taifa katika Wilaya zote za Mkoa wa Kagera imetekelezwa ...
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Clayton Chipando maarufu kama @OfficialBabaLevo amechukua ...
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linafanya uchunguzi kuhusiana na tukio la mtu mmoja aitwaye Bakari Halifa Daud (18) ...
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) katikakikao chake kilichofanyika Agosti 23, 2025 imefanya uteuzi wa mwisho wa majina ...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mkuu wa Mkoa ...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha uvumi unaoenea mitandaoni ukidai kuwa mfumo wa uchaguzi umeunganishwa na ...
Wamandoa wawili ambao ni Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wameawa na wananchi wa kijiji cha ...
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mheshimiwa Mudrick Ramadhan Soraga amesema serikali iko tayari kupokea mashauri ...