Msanii Kutoka Label Ya #WcbWasafi @itsdvoice Ameianza Safari Yake Ya Kutaka Kuipeleka Singeli Kimataifa, Kwani Amekutana Na Muimbaji Wa Nigeria @izzlax 🇳🇬 Ambaye Ni Hitmaker Wa ‘Ginger’, ‘Sempe’ Na Zingine Kibao.
Dvoice Ame-Share Video Hii Ikiwaonesha Walivyokutana Huko Mjini Lagos, Nchini Nigeria Hivi Karibuni. Hii Ni Hatua Kubwa Kwa D Voice Akiendelea Kutanua Wigo Wake Katika Soko La Muziki Wa Kimataifa.
Hivyo Tegemea Kolabo Kutoka Kwa D Voice Na Mkali Huyu Wa Afrobeat ‘L.A.X’ Muda Wowote Kuanzia Hivi Sasa.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.