Timu ya Taifa ya Tanzania (Kilimanjaro Stars) imekubali kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Harambee Stars (Kenya) ikiwa ni kichapo cha pili mfululizo kwa Stars tangu kuanza kwa michuano hiyo ya kimataifa ya Kombe la Mapinduzi.
Harambee Stars inashikilia mkia wa kundi ikiwa haina alama yoyote ikipoteza dhidi ya Zanzibar na Kenya na sasa imebakisha mchezo mmoja wa Mwisho dhidi ya Burkina Faso.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.