Kocha wa Chelsea, Enzo Maresca amesema kuwa mchezaji wake, Christopher Nkunku hajasema kama anataka kuondoka ndani ya Chelsea licha ya kuwepo na taarifa kuwa Bayern wanamtaka kama mbadala wa Mathys Tel ambaye anatajwa kuwa kwenye rada za Chelsea.
“Nkuku hajaniambia mimi kwamba anataka kuondoka. Hatukuzungumza juu ya mustakabali wake,” amesema Maresca.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.