Kiungo wa zamani wa Juventus na Manchester United, Paul Pogba (31) amemaliza adhabu yake ya kutocheza mpira kwa kukutwa na hatia ya kutumia dawa za kusisimua misuli, ambayo awali ilikuwa ni miaka minne kabla ya CAS kupunguza adhabu hio na kuwa miezi 18
Kutokana na adhabu hiyo kupunguzwa, Pogba anatarajiwa kurudi uwanjani akiwa kama mchezaji huru baada ya klabu yake ya zamani Juventus kuvunja mkataba nae.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.