Rapa Na Mfanyabiashara ‘Diddy’ Amehukumiwa Miezi 50 Jela Ikiwa Ni Pamoja Na Miezi 14 Ambayo Tayari Ametumikia (Time Served).
Hivyo Hii Inaonesha Kuwa Diddy Atakuwa Jela Kwa Miaka 3 Tu Kwasasa Ikiwa Tayari Alikuwa Jela Kwa Mwaka Mmoja Na Miezi Miwili.
Diddy Alikutwa Na Hatia Katika Makosa mawili Yanayohusiana Na Ukahaba Ikiwemo Kusafirisha Binadamu Kwa Ajili Ya Ukahaba.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.