Muimbaji Wa Ghana @shattawalenima 🇬🇭 Ameripotiwa Kuwa Alirudisha Kiasi Cha Pesa Takribani $200K (Tsh Milioni 532+) Ambazo Alilipwa Kwa Ajili Ya Kutumbuiza Kwenye Birthday Ya Bilionea “Richard Quaye”.

ShattaWale Alifanya Hivyo Baada Ya Kupata Taarifa Kuwa Diamond Na Davido Wamelipwa $600k & $500K Sawa Na (Tsh Bilioni 1.6/= & Tsh Bilioni 1.3/=) Kwa Ajili Ya Kutumbuiza Kwenye Birthday Hiyo Hiyo Wakati Yeye Na Sarkodie Ambao Ndio Waimbaji Wa Ghana Wamelipwa $200K (Tsh Milioni 532+).
Anaamini Kuwa Anastahili Kulipwa Sawa Na Diamond & Davido !!.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.