Rapa Wa Marekani @tyga Alilazimika Kumaliza “LiveStream” Baada Ya Kutakiwa Kuhama Na Familia Yake Kisa Moto Uliokuwa Ukikaribia Makazi Yake Ya Los Angeles.
Licha Ya #Tyga Kuambiwa Aondoke Los Angeles Na Kutafuta Mji Mwingine , Lakini Yeye Amechukua Uamuzi Wa Kuondoka Kabisa Nchini Humo Mpaka Pale Janga La Moto Litakapoisha. Jumba La Tyga L.A Linatajwa Kuwa Na Thamani Ya $10M (Tsh BILIONI 25/=).
https://www.instagram.com/p/DEwltgPiBFl/?igsh=MXB3aGdnNjB5ejJheg==
Mastaa Wengine Ambao Wamepoteza Nyumba Zao Los Angeles Ni; Jhene Aiko, Paris Hilton, Milo Ventimiglia, Tina Knowles Na Wengine Kibao.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.