Tarajia Remix Ya #Holiday @diamondplatnumz Akiwa Ameshirikisha Rapa Wa Marekani @richforever Pamoja Na Muimbaji Wa Afrika Kusini @khalilharison .
Diamond Amethibitisha Hilo Kupitia Ukurasa Wake Wa Instagram (Insta-Story) Kwa Ku-Share Kionjo Cha Remix Ya Ngoma Yake Hiyo.
“Au Tuachie Kwanza Rmeix Ya Hii Kitu Na Maahine Moja Ya Global Kabla Ya Hizo Bongo Fleva” – Diamond
Hii Itakuwa Kolabo Ya Pili Kwa Diamond Na Rick Ross, Ambapo Ya Kwanza Ilipatikana Katika Album Yake Ya “A Boy From Tandale” #WakaWaka iliyotoka 2017.
JE, Atoe Remix Ya Ngoma Hii Au Album Ya Bongo Flavor ⁉️
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.