Justin Bieber Adai Alidukuliwa Akaunti Ya Instagram Baada Ya Kum-Unfollow Mke Wake

Baada ya uvumi kuanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba #JustinBieber amem-unfollow mke wake “Hailey Bieber”Katika Mtandao Wa Instagram, Justin Ameibuka Na Kutumia IG Yake kuweka mambo sawa.

Bieber Anadai Kuwa Kuna Mtu Alidukua (Hack) Account Yake Na Kisha Kum-Unfollow Mke Wake “Hailey Bieber”, Jambo Ambalo Liliibua Mijadala Kwa Mashabiki Wakiwa Na Mashaka Ya Hali Ya Ndoa Ya Wawili Hao

Ujumbe Wa Bieber Baada Ya Kuonekana Kuwa Amem-Unfollow Mke Wake Hailey Bieber
Bieber Alivyom-Unfollow Mkewe
Bieber Amem-Follow Tena Mke Wake Baada Ya Kuweka Mambo Sawa.