Whozu Ajitoa Label Ya “Too Much Money” .

Msanii Wa Bongo Fleva Nchini @whozu_ Ameweka Wazi Kutoka Katika Label Ya “Too Much Money” Na Sasa Atajitegemea Mwenyewe.

Ujumbe Wa Msanii Whozu Kuachana Na Label Ambayo Alikuwa Akifanya Nayo Kazi “Too Much Money”.

“TOO MUCH MONEY kwang itabaki kuwa familia ya kudumu na nitashirikiana nao nyakati zote ushirikiano utakapohitajika. Hivyo kwa maneno haya machache namaanisha kuwa kwa sasa WHOZU hayupo tena chini ya TOO MUCH MONEY. Asanteni TOO MUCH MONEY kwa kuniamini na kuniaminisha kwa watanzania, sisi ni familia” – Whozu