Mshukiwa Wa Mauaji Ya 2pac Apata Msala Mwingine Akiwa Gerezani .

.
Mtu Ambaye Polisi Wanasema Anahusika Na Kifo Cha Tupac Shakur Alijihusisha Katika Ugomvi Wa Gerezani Wakati Akisubiri Kesi Yake Ya Mauaji Ya 2pac na Sasa Anakabiliwa Na Shtaka Jipya .

Duane “Keefe D” Davis alishiriki katika pambano la kimwili na mfungwa mwenzake katika Gereza la Clark County huko Las Vegas.


.
Keefe D sasa anakabiliwa na shtaka la kushambulia mfungwa, kulingana na hati za kisheria mpya zilizopatikana na TMZ. Afisa mmoja anasema Keefe D alidai kuwa alikuwa akijitetea.

Picha Ya Keefe D Akipiga Na Mfungwa Mwenzake Gerezani .