Mchezaji wa Mashujaa FC, Seif Karihe ameadhibiwa kwa kufungiwa michezo mitatu (3) na kutozwa faini ya Tsh. 500,000 (laki tano) kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC, Feisal Salum.
Karihe alimkanyaga Feisal wakati akiwa chini baada ya kumfanyia rafu na adhabu hiyo ni kwa mujibu wa kanuni ya 41:5 ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Wachezaji.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.