Manchester, Uingereza
Klabu ndogo ya Grimsby Town inayoshiriki ligi daraja la nne nchini Uingereza, imeandika historia baada ya kuiondoa Manchester United kwenye michuano ya Carabao Cup.
Mchezo huo uliochezwa jana umeacha mashabiki wengi midomo wazi, kwani Manchester United waliokuwa wakipewa nafasi kubwa ya kusonga mbele walishindwa kuhimili presha ya Grimsby Town, ambao walicheza kwa nidhamu na ushupavu mkubwa.
Mchezo ulimalizika kwa Sare ya mabao 2-2 na Grimsby kufanikiwa kutinga hatua inayofuata kwa ushindi wa mikwaju ya penati 12-11.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.