Ni Miaka 22 Iliyopita Tarehe Kama Ya Leo, Rapa Kanye West Aliachia Wimbo Wake ‘Through The Wire’,

Through The Wire’ ni ngoma ya kwanza ya Kanye West kwenye maisha ya Muziki na ilitoka Septemba 30 mwaka 2003. YE alirekodi wimbo huo akiwa na waya kwenye taya zake baada ya kupata ajali mbaya ya gari mwaka 2002.

Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.