Timu ya Taifa ya Tanzania @taifastars_ chini ya Kocha @miguelgamondi imetinga hatua ya mtoano (16 bora) katika michuano ya Fainali ya AFCON 2025.
Tanzania imeingia hatua hiyo Kama best looser baada ya kukusanya alafu 2 na kufunga magoli matatu.
FULL TIME
Uganda 🇺🇬 1-3 Nigeria 🇳🇬
Tunisia 🇹🇳 1-1 Tanzania 🇹🇿
Katika kundi C Nigeria 🇳🇬, Tunisia 🇹🇳 na Tanzania 🇹🇿 zimefuzu hatua ya 16 bora ya AFCON 2025














Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.