Tanzania yaandika historia, yatinga 16 bora Fainali AFCON 2025

Timu ya Taifa ya Tanzania @taifastars_ chini ya Kocha @miguelgamondi imetinga hatua ya mtoano (16 bora) katika michuano ya Fainali ya AFCON 2025.

Tanzania imeingia hatua hiyo Kama best looser baada ya kukusanya alafu 2 na kufunga magoli matatu.

FULL TIME

Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬ 1-3 Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬
Tunisia πŸ‡ΉπŸ‡³ 1-1 Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Katika kundi C Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬, Tunisia πŸ‡ΉπŸ‡³ na Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ zimefuzu hatua ya 16 bora ya AFCON 2025