Kendrick Lamar na mchumba wake, Whitney Alford, wamelipa zaidi ya dola 340,000 (Tsh Milioni 888.5/=) kufuta madeni ya chakula cha mchana ya maelfu ya wanafunzi wenye kipato cha chini katika shule Zaidi Ya 100 Nchini Marekani.
Kendrick Na Mchumba Wake Wafuta Madeni Ya Wanafunzi Shuleni.

Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.