Mwanamuziki #KeriHilson Kwenye Mahojiano Na @breakfastclubam amefunguka kuhusu Kitu Anachokijutia. Keri Amesema kuwa ule wimbo wa “Turnin’ Me On (Remix)” ambao ulikuwa na maneno ya kumdiss #Beyoncé, Haukuandikwa Na yeye, bali alilazimishwa kuuimba.
Keri Anasema aliandika version yake mwenyewe ya wimbo huo ambayo haikutolewa, lakini version nyingine ilitolewa ambayo iliandikwa na mwandishi mwingine. Keri anadai kuwa wakati huo alikuwa amesainiwa kwa #PolowDaDon, ambaye ndiye aliyemlazimisha aimbe diss hiyo. Pia aliahidiwa kuwa wimbo huo hautatolewa, lakini baadaye Ulivujishwa Mtandaoni.
“Ule Wimbo Kiukweli Sikuuandika Mimi, Yale Sio Mashairi Yangu” – Keri Hilson
Hata Hivyo Mwandishi Wa Remix Ya Wimbo Huo ‘Ester Dean’ Ameibuka Na Kuthibitisha Kuwa Yeye Ndiye Aliyeandikwa Remix Hiyo Na Sio Keri Hilson

Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.