Mshambuliaji wa Barcelona, Lamine Yamal (17), amewapa nafasi kubwa Liverpool ya kushinda ubingwa wa ligi ya mabingwa msimu huu wa 2024/2025.
“Nahisi Liverpool ndo wana nafasi kubwa ya kushinda ubingwa kuliko sisi, wao ndo wamemaliza nafasi ya kwanza, tutashindana ili tuweze kuwa mabingwa hatutabaki nyuma” amesema Yamal
Barcelona walimaliza nafasi ya pili nyuma ya Liverpool kwenye hatua ya makundi na kupata tiketi ya moja kwa moja kwenda hatua ya kumi na sita bora.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.