Uongozi wa Klabu ya Mashujaa Fc umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha mkuu wa kikosi hicho, Mohamed Abdallah (Baress) kocha wa viungo, Hussein Bunu pamoja na kocha wa makipa Rafael Nyendi.
Taarifa ya klabu hiyo imeeleza kuwa timu itakuwa chini ya kocha msaidizi Charles Fredie wakati mchakato wa haraka wa kumpata kocha mkuu ukiendelea.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.