Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ambaye pia ni mtia nia wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema ...

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Bw. Cornel Magembe amepiga marufuku tabia za vijana na kina mama maarufu kama ...

Kamati ya Usalama Wilaya ya Gairo ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo ndugu Jabiri Makame imewakamata watu watatu ...

Familia ya John Mushi mkazi wa Sambarai Kibosho wilayani Moshi mkoani kilimanjaro imepata furaha baada ya mke wake ...

Kampeni ya Samia Teacher’s Mobile Clinic imezinduliwa rasmi mkoani Ruvuma, ikiwa na lengo la kusikiliza na kutatua changamoto ...

Watu 15 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za kupatikana na Shehena ya unga ...

▪️Awataka wachimbaji wote nchini kuzingatia sheria na kanuni za madini ▪️Alekeza Maafisa Madini kusimamia sheria ili kupunguza migogoro ...

Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mhe.Charlotta Ozaki Macias amesema Nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania ...

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb.), amewaasa Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ...

Rais wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, amekamatwa leo, Januari 15, 2025, kwa tuhuma za uasi kufuatia jaribio ...