DROO YA MICHUANO YA AFCON 2025
- Michuano itafanyika nchini MOROCCO ๐ฒ๐ฆ
- Kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026.
KUNDI A
Morocco ๐ฒ๐ฆ
Mali ๐ฒ๐ฑ
Zambia ๐ฟ๐ฒ
Comoros ๐ฐ๐ฒ
KUNDI B
Egypt ๐ช๐ฌ
South Africa ๐ฟ๐ฆ
Angola ๐ฆ๐ด
Zimbabwe ๐ฟ๐ผ
KUNDI C
Nigeria ๐ณ๐ฌ
Tunisia ๐น๐ณ
Uganda ๐บ๐ฌ
Tanzania ๐น๐ฟ
KUNDI D
Senegal ๐ธ๐ณ
DR Congo ๐จ๐ฉ
Benin ๐ง๐ฏ
Botswana ๐ง๐ผ
KUNDI E
Algeria ๐ฉ๐ฟ
Burkina Faso ๐ง๐ซ
Equatorial Guinea ๐ฌ๐ถ
Sudan ๐ธ๐ฉ
KUNDI F
Ivory Coast ๐จ๐ฎ
Cameroon ๐จ๐ฒ
Gabon ๐ฌ๐ฆ
Mozambique ๐ฒ๐ฟ
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo limechezesha droo ya makundi kwa michuano ya AFCON 2025, itakayofanyika nchini Morocco mwezi Desemba mwaka huu. Tanzania imepangwa Kundi C pamoja na Tunisia, Uganda, na mabingwa mara tatu wa michuano hiyo, Nigeria.
Hii ni mara ya nne kwa Tanzania kushiriki michuano ya AFCON katika historia na mara ya pili mfululizo, hatua inayothibitisha maendeleo makubwa ya soka la Taifa Stars.
Je, ukiangalia Kundi C, Tanzania ina nafasi ya kuingia hatua ya 16 bora mwaka huu? Tunakaribisha maoni yako!

Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and weโll get back to you as soon as possible.