Haya hapa Makundi ya AFCON 2025: Tanzania Kupambana na Tunisia, Uganda, na Nigeria

DROO YA MICHUANO YA AFCON 2025

  • Michuano itafanyika nchini MOROCCO ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
  • Kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026.

KUNDI A

Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ
Zambia ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ
Comoros ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ฒ

KUNDI B

Egypt ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด
Zimbabwe ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ

KUNDI C

Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ
Tunisia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ
Uganda ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ
Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

KUNDI D

Senegal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ
DR Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
Benin ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฏ
Botswana ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ

KUNDI E

Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ
Equatorial Guinea ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ถ
Sudan ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ

KUNDI F

Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ
Cameroon ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ
Gabon ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฆ
Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo limechezesha droo ya makundi kwa michuano ya AFCON 2025, itakayofanyika nchini Morocco mwezi Desemba mwaka huu. Tanzania imepangwa Kundi C pamoja na Tunisia, Uganda, na mabingwa mara tatu wa michuano hiyo, Nigeria.

Hii ni mara ya nne kwa Tanzania kushiriki michuano ya AFCON katika historia na mara ya pili mfululizo, hatua inayothibitisha maendeleo makubwa ya soka la Taifa Stars.

Je, ukiangalia Kundi C, Tanzania ina nafasi ya kuingia hatua ya 16 bora mwaka huu? Tunakaribisha maoni yako!

Picha ya Wachezaji wa nchi zinazowakilisha Kundi C