Wasanii 6 Kusainiwa WCB Mwaka Huu 2025

Mtayarishaji Kutoka Label Ya #WCB Ayo @lizerclassic Ameweka Wazi Kuwa Label Hiyo Itasaini Wasanii Kama 6 Mwaka Huu 2025. #Lizer Ametaja Vigezo Vya Wasanii Hao Wanaotaka Kujiunga Na Label Hiyo .šŸ‘‡

ā€œVigezo:

  1. Uwe unajua kuimba vizuri nyimbo za aina tofauti tofauti. šŸŽ™ļø
  2. Uwe una uwezo wa kuandika nyimbo zako kwa ufasaha. āœļø
  3. Uwe unajua kucheza šŸ’ƒšŸ•ŗ
  4. Tuma nyimbo 3 ambazo zimesharekodiwa
  5. Tuma maelezo yako kwa ufupi {PROFILE} (jina, umri, mahali unakotoka, n.k.).
  6. Tuma account yako ya Instagram ili tuweze kukufahamu zaidi.
    7.Uwe Mtanzania šŸ‡¹šŸ‡æ

Tuma kupitia namba ya simu ifuatayo: 0674739353 (whatsapp pekee,usipige simu)
Hakikisha unatuma vitu vyote vilivyotajwa hapo juu.

Maombi yanapokelewa kuanzia sasa hadi Tarehe 4-2-2025

Sms Zitaanza kujibiwa ndani ya masaa 48ā€ – Lizer