Mtayarishaji Kutoka Label Ya #WCB Ayo @lizerclassic Ameweka Wazi Kuwa Label Hiyo Itasaini Wasanii Kama 6 Mwaka Huu 2025. #Lizer Ametaja Vigezo Vya Wasanii Hao Wanaotaka Kujiunga Na Label Hiyo .👇

“Vigezo:
- Uwe unajua kuimba vizuri nyimbo za aina tofauti tofauti. 🎙️
- Uwe una uwezo wa kuandika nyimbo zako kwa ufasaha. ✍️
- Uwe unajua kucheza 💃🕺
- Tuma nyimbo 3 ambazo zimesharekodiwa
- Tuma maelezo yako kwa ufupi {PROFILE} (jina, umri, mahali unakotoka, n.k.).
- Tuma account yako ya Instagram ili tuweze kukufahamu zaidi.
7.Uwe Mtanzania 🇹🇿
Tuma kupitia namba ya simu ifuatayo: 0674739353 (whatsapp pekee,usipige simu)
Hakikisha unatuma vitu vyote vilivyotajwa hapo juu.
Maombi yanapokelewa kuanzia sasa hadi Tarehe 4-2-2025
Sms Zitaanza kujibiwa ndani ya masaa 48” – Lizer
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.