Mtayarishaji Kutoka Label Ya #WCB Ayo @lizerclassic Ameweka Wazi Kuwa Label Hiyo Itasaini Wasanii Kama 6 Mwaka Huu 2025. #Lizer Ametaja Vigezo Vya Wasanii Hao Wanaotaka Kujiunga Na Label Hiyo .š

āVigezo:
- Uwe unajua kuimba vizuri nyimbo za aina tofauti tofauti. šļø
- Uwe una uwezo wa kuandika nyimbo zako kwa ufasaha. āļø
- Uwe unajua kucheza ššŗ
- Tuma nyimbo 3 ambazo zimesharekodiwa
- Tuma maelezo yako kwa ufupi {PROFILE} (jina, umri, mahali unakotoka, n.k.).
- Tuma account yako ya Instagram ili tuweze kukufahamu zaidi.
7.Uwe Mtanzania š¹šæ
Tuma kupitia namba ya simu ifuatayo: 0674739353 (whatsapp pekee,usipige simu)
Hakikisha unatuma vitu vyote vilivyotajwa hapo juu.
Maombi yanapokelewa kuanzia sasa hadi Tarehe 4-2-2025
Sms Zitaanza kujibiwa ndani ya masaa 48ā – Lizer





Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and weāll get back to you as soon as possible.