Unaambiwa Lyric Video Ya Wimbo Wa Msanii Wa Nigeria @ayrastarr “Commas” Imefanikiwa Kufikisha Jumla Ya Watazamaji Milioni Katika Mtandao Wa Youtube Ndani Ya Mwaka Mmoja Tangu Kuachiwa Kwake .

Hii Inakuwa Video Ya Pili (2) Kwa Ayra Starr Kufikisha Views Zaidi Ya 100M, Huku Ya Kwanza Ikiwa Ni “Rush” Yenye Jumla Ya Watazamaji Zaidi Ya Milioni 427 Hadi Sasa.
Ayra Starr Ni Mmoja Kati Ya Wasanii Wa Afrobeat Wanaofanya Vizuri Zaidi Kwenye Muziki Katika Kizazi Cha Sasa.
Got a Questions?
Find us on Socials or Contact us and we’ll get back to you as soon as possible.